MAKOSA KWENYE KUFUNGA TV UKUTANI TULIYOKUTANA NAYO MOROGORO

 
Kuna makosa mengi kwenye kufunga tv ukutani tukiwa Morogoro tumekutana na makosa haya!

• Kuacha miguu ya TV kutokuifunga ilihali tv inafungwa ukutani - kazi ya miguu hii ni kama tv inakaa chini ( meaning.k. )

• Kutokuubana waya na kuacha unaning'inia

Kinachotakiwa kifanyike na kama tulichofanya Mustapha Madish Installers

> Tumefungua miguu ya TV 

> Tumeuficha waya kwa kuchimbia Conduit pipe! Ingawaje ungeweza kuuficha hata kwa trunk lakini kwa tulivyofanya ni bora zaidi!

Hapa ni Morogoro lakini huduma hii tunaifanya mikoa yote Tanzania 

WhatsApp/Tupigie sasa kwa ushauri/kazi

Mustapha madish installers Morogoro +255777139413

Mustapha madish installers D'salaam +255755949413

Post a Comment

0 Comments